+254 723 971 057 | info@moranpublishers.co.ke

Pepo za Mizimu

Original price was: KShs270.00.Current price is: KShs243.00. exc. VAT

Pepo za Mizimu Mwandishi: Ali Attas ISBN: 978 9966 630 01 8 Upepo ulivuma kidogo, ukiliza sauti ngeni ya kusononeka. Juma mara alihisi kitu kinamvuta kama sumaku hadi mbuyuni. Matagaani, mbuyu huo haukuwa na jani hata moja. Ila ghafla jani moja lilizuka, likapeperuka na kuelea hewani kisha likadondokea chini ya miguu yake. na butaa, akalitumbulia…

Category:

Description

Upepo ulivuma kidogo, ukiliza sauti ngeni ya kusononeka. Juma mara alihisi kitu kinamvuta kama sumaku hadi mbuyuni. Matagaani, mbuyu huo haukuwa na jani hata moja. Ila ghafla jani moja lilizuka, likapeperuka na kuelea hewani kisha likadondokea chini ya miguu yake.
na butaa, akalitumbulia macho jani hilo. Baada ya nukta mbili tatu, aliinama chini,
Jani lenyewe lilikuwa bichi. Aliamua kulinusa. Kufumba na kufumbua, jani lilinyanyuka mikononi mwake.

Additional information

Weight 0.1 kg

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

X