Azimio la Maisha – Tamthilia ya Gredi ya Nane

Original price was: KShs280.00.Current price is: KShs258.00. exc. VAT

Azimio la Maisha ni tamthilia ambayo inaangazia changamoto ambazo zinawakumba vijana katika jamii ya sasa kutokana na mabadiliko ya mazingira ya kijamii na kiuchumi. Mwangaza, kijana chipukizi, anajipata katika hali hiyo. Pamoja na familia yake, wanahama mjini kisha kuanza maisha mapya kijijini.Mwangaza anakumbana na changamoto nyingi zinazotishia kumbwaga katika dimbwi kuu la kukata tamaa.Anaingia katika…

Category:
Tags:

Description

Author :  Beth Mutugu

ISBN : 9789966637765

 

Additional information

ISBN

9789966637765

Author

Beth Mutugu

Select at least 2 products
to compare