Hatua Za Kwanza – Mazoezi ya Lugha -Chekechea 1 (PP1)

Original price was: KShs550.00.Current price is: KShs500.00. exc. VAT

Hatua Za Kwanza – Mazoezi ya Lugha -Chekechea 1 (PP1) ISBN : 9789966636577 AUTHOR : Mwalimu Kipande

Description

Hatua za Kwanza, Mazoezi ya Lugha, Kiwango cha Kwanza cha Chekechea ni kitabu cha kiada kilichoandikwa kwa mujibu wa Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki kina sifa zifuatazo:

  • kinafunza shughuli za lugha kupitia kwa picha maridadi

  • kinatumia lugha sahili na mwafaka kwa mwanafunzi

  • kina shughuli za ujifunzaji za aina mbalimbali

  • kinamwezesha mwanafunzi kujifunza lugha kutokana na mazingira yake

  • kinashughulikia matokeo yote maalumu katika mtaala kwa kuzingatia umilisi wa kimsingi, madai na masharti ya mtaala mkuu

  • kinakuza stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma na kuandika

Hayo na mengine mengi yanakusudiwa kumwezesha mwanafunzi wa Kiwango cha Kwanza cha Chekechea kuwa na stadi za kimsingi za lugha.

Additional information

ISBN

9789966636577

Author

Mwalimu Kipande

Select at least 2 products
to compare

⚠️ Important Notice: Annual Stocktake Closure

Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.

Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!