Hekaya za Hekima

Original price was: KShs405.00.Current price is: KShs365.00. exc. VAT

Hekaya za Hekima ISBN: 978 9966 34 798 5 Mwandishi: Jamil Al Jabry Hekaya za Hekima ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kufunza maadili. Kitabu kimesheheni mafunzo mengi. Pamoja na mafunzo hayo msomaji ataburudishwa na matendo ya wahusika mbalimbali

Category:

Description

Hekaya za Hekima
ISBN: 978 9966 34 798 5
Mwandishi: Jamil Al Jabry
Hekaya za Hekima ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kufunza maadili. Hadithi hizi zilichapishwa asilia katika Kitabu cha Kihind Panchatantra. Kitabu hicho kiliandikwa na Vishnu Sharma. Kilichapishwa katika Karne ya tatu Kabla ya Enzi ya Pamoja (B.C.E)
Tangu kuchapishwa kwake, inaaminika kimetafsiriwa katika zaidi ya lugha hamsini za ulimwengu. Hadithi zilizomo katika Hekaya za Hekima zilitolewa katika tafsiri ya Panchatantra ya Kiarabu Kalila na Dimna.
Kitabu kimesheheni mafunzo mengi. Pamoja na mafunzo hayo msomaji ataburudishwa na matendo ya wahusika mbalimbali

Additional information

Weight 0.1 kg

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.