Description
Sarufi Kwa Shule za Msingi ni kitabu kinachofafanua kwa kina dhana za sarufi zinazopendekezwa na silabasi kufundishwa katika shule za msingi. Dhana zimefafanuliwa kwa kutumia lugha rahisi. Aidha,mifano mwafaka imetolewa na baadaye mazoezi ya kutosha ili kuhakikisha kuwa mwanafunzi ameelewa dhana husika. Dhana zinazowatatiza sana wanafunzi zimepewa kipaumbele.
Reviews
There are no reviews yet.