+254 723 971 057 | info@moranpublishers.co.ke

Sokwe wa Milima ya Mwezi

Original price was: KShs270.00.Current price is: KShs243.00. exc. VAT

Sokwe wa Milima ya Mwezi Mwandishi: Ali Attas ISBN: 978 9966 630 02 5 Mzee Nguli alikatiza na kusema, ?Kiumbe huyo bila shaka awe sokwe. Bi Kizee Guliguli na Kuhani Mkuu wafanye mazingaombwe ili mwana huyo ageuzwe nusu sokwe nusu mtu.? wazee walitingisha vichwa vyao huku Mfalme akisharubu maoni ya baraza kuu. Hoja ya mwisho…

Category:

Description

Mzee Nguli alikatiza na kusema, ?Kiumbe huyo bila shaka awe sokwe. Bi Kizee Guliguli na Kuhani Mkuu wafanye mazingaombwe ili mwana huyo ageuzwe nusu sokwe nusu mtu.?
wazee walitingisha vichwa vyao huku Mfalme akisharubu maoni ya baraza kuu. Hoja ya mwisho mshauri wake mkuu ilimgusa.
?Naam, Mzee Nguli, umetupa ufumbuzi wa busara. Sokwemtu atakuwa kificho kizuri na kinga
bora kwa mwanangu.?
Ndani ya kitabu hiki, msomaji ametunukiwa hadithi nyingine ya kusisimua iliyo na anwani Mbuyu Serengeti.

Additional information

Weight 0.1 kg

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

X