Stadi za Kiswahili Kitabu cha Mwalimu Gredi 9

Original price was: KShs890.00.Current price is: KShs801.00. exc. VAT

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki, Stadi za Kiswahili, Kitabu cha Mwalimu, Gredi ya Tisa, kinadhamiriwa kumwezesha mwalimu kufanikisha ujifunzaji wa yaliyomo katika Stadi za Kiswahili, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya Tisa. Mwalimu anaelekezwa jinsi ya: kutumia maswali dadisi ili kumfikirisha mwanafunzi,…

Description

Author : Margaret Mukabane et al

ISBN : 9789966636065

Additional information

Author

Margaret Mukabane et al

ISBN

9789966636065

Select at least 2 products
to compare