Your cart is currently empty!
Your cart is currently empty!
Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi.
Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi.
Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:
โข Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 9
โข Maswali dadisi yametumiwa kumfikirisha mwanafunzi
โข Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi
โข Kimejumuisha mada na mada ndogo zote
โข Yaliyomo yamepangwa kulingana na mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 9
โข Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu
โข Kimeshughulikia matokeo maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 9
โข Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Kiumilisi
โข Kimeshughulikia masuala mtambuko yote
โข Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Kiumilisi
โข Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.
Haya na mengine mengi yanadhamiriwa kumwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 9 kuwasiliana kwa Kiswahili sanifu katika mazingira mbalimbali.
| Author | Margaret Mukabane et al |
|---|---|
| ISBN | 9789966636058 |
โ ๏ธ Important Notice: Annual Stocktake Closure
Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.
Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!
Notifications