Stadi za Kiswahili- Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6

Original price was: KShs620.00.Current price is: KShs558.00. exc. VAT

Stadi za Kiswahili- Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6 AUTHOR : Mwalimu Kipande ISBN : 9789966633446

Out of stock

Description

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:

  • Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 6.

  • Maswali dadisi yametumiwa kutanguliza dhana zilizomo.

  • Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi ya wanafunzi.

  • Kimeshughulikia masuala makuu yote kwa mujibu wa mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 6.

  • Kimejumuisha mada kuu na mada ndogo zote.

  • YaliyoYomo yamepangwa kulingana na mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 6.

  • YaliyoYomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu.

  • Kimeshughulikia matokeo maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 6.

  • Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Kiumilisi.

  • Kimeshughulikia masuala mtambuko yote.

  • Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Kiumilisi.

  • Shughuli za ujifunzaji zinalingana na stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.

  • Michoro na picha za rangi zinachangia yaliyomo kueleweka kwa urahisi.

  • Maandishi makubwa na ya rangi mbalimbali yanasomeka kwa urahisi.

Haya na mengine mengi yanadhamiriwa kumwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 6 kuwasiliana kwa Kiswahili sanifu katika mazingira mbalimbali.

Additional information

ISBN

9789966633446

Author

Mwalimu Kipande

Select at least 2 products
to compare