Stadi za Kiswahili – Shughuli za Lugha – Kitabu cha Mwanafunzi -Gredi ya 5

Original price was: KShs510.00.Current price is: KShs459.00. exc. VAT

Stadi za Kiswahili – Shughuli za Lugha – Kitabu cha Mwanafunzi -Gredi ya 5 Author : Mwalimu Kipande ISBN : 9789966632937

Description

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Umilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:

● Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 5.
Maswali dadisi yametumiwa kutanguliza dhana zilizomo.
● Kimejumuisha shughuli za mwanfunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawili/wawili na za makundi ya wanafunzi.
● Kimeshughulikia masuala makuu yote kwa mujibu wa muhtasari wa Kiswahili cha Gredi ya 5.
● Kimejumuisha mada kuu na mada ndogo zote.
● Yaliyomo yanapangwa kulingana na muundo wa Kiswahili cha Gredi ya 5.
● Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kuvutia na kiwango cha juu.
● Kimeshughulikia matokeo makuu yanayotarajiwa katika Gredi ya 5.
● Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Umilisi.
● Kimeshughulikia masuala mtambuko yote.
● Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi.
● Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma na kuandika.
● Michoro na picha za rangi zinachangia yaliyomo kueleweka kwa urahisi.
● Maandishi makubwa na ya rangi mbalimbalim gasonseka kwa urahisi.

Haya na mengine mengi yamegandhamiria kumwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 5 kuwasiliana kwa Kiswahili sanifu katika mazingira mbalimbali.

Additional information

Author

Mwalimu Kipande

ISBN

9789966632937

Select at least 2 products
to compare

⚠️ Important Notice: Annual Stocktake Closure

Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.

Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!