Zimwi Hilo

Original price was: KShs295.00.Current price is: KShs266.00. exc. VAT

  Mzee Nuru aliwasimulia wanafunzi hadithi  ya kusisimua.Hadithi hiyo inahusu zimwi lililokuwa likiwashambulia wanakijiji wa Pumbao na kuwaua wengi. Zimwi hilo halikuonekana wala kujulikana.Lilisemekana liliishi katika msitu mkubwa uliokuwa karibu na kijiji.Vijana waliamua kulisaka zimwi hilo lakini wakaambulia patupu. Kitendawili cha zimwi kilizua taharuki kijijini.Mkutano uliandaliwa huku kukiwa na shuku na shauku… Zimwi Hilo ni…

Description

Mwandishi: Mogambi
ISBN: 9789966342346

Additional information

Weight 0.05 kg
Author

Mogambi

ISBN

9789966342346

Select at least 2 products
to compare