Your cart is currently empty!
Your cart is currently empty!
NGUVA WA SHIMONI MWANDISHI : ALI ATTAS ISBN : 9789966630001
Shani na Zani waliitika kwa kutingisha vichwa vyao, kisha wakakunja magoti na kutega masikio. Pazia la kitendawili kilichowazuga wakazi wa mji huo kwa miaka na mikaka sasa lilianza kufunguka taratibu.
“Nguva wa Shimoni ana jina jingine la siri. Wakazi wengi wa mji huu hawalijui. Pengine hata baba yangu halijui maana sijawahi kumsikia akilitaja.” Babu Bonga akaanza kusimulia hadithi hiyo kwa udondozaji stadi.
“Wazee wachache walioluka chumvi kama mimi wanalifahamu jina hilo. Amepewa jina hilo kutokana na maumbile na hulka yake. Vivyo hivyo, kutokana na mahali pale anapoibukia. Inasemekana nguva huyo ana siri moja inayo fungamana na utajiri mkubwa ajabu. Je, mme wahi kulisikia jina lake la pili?”
Vitabu vingine katika mfululizo huu:
Miujiza ya Majini
Pepo za Mizimu
Sokwe wa Milima ya Mwezi
| Weight | 0.1 kg |
|---|---|
| ISBN | 9789966630001 |
| Author | Ali Attas |
โ ๏ธ Important Notice: Annual Stocktake Closure
Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.
Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!
Notifications