+254 723 971 057 | info@moranpublishers.co.ke

Nguva wa Shimoni

Original price was: KShs270.00.Current price is: KShs243.00. exc. VAT

Nguva wa Shimoni Mwandishi: Ali Attas Katika ukungu wa ndoto, aliona kiumbe nusu msichana nusu samaki alipunga mkono kwa ishara ya kumwita Shani kisha akapotea. ya alfajiri. Shani na Zani walikurupuka asubuhi na mapema. Zani alichangamka. Shani alikuwa mchovu. Baada ya kunawa nyuso zao, Shani na ndugu yake walielekea katika chumba cha kula. ?Mbona sura…

Category:

Description

Nguva wa Shimoni
Mwandishi: Ali Attas
Katika ukungu wa ndoto, aliona kiumbe nusu msichana nusu samaki alipunga mkono kwa ishara
kisha akapotea.Giza likayeyuka.Likapishana na mcharuko wa kokoiko ya majogoo uliokaribisha mapambazuko
ya alfajiri. Shani na Zani walikurupuka asubuhi na mapema. Zani alichangamka. Shani alikuwa
mchovu. Baada ya kunawa nyuso zao, Shani na ndugu yake walielekea katika chumba cha kula.
?Mbona sura yako imesinyaa kidogo, Shani?? Mama yao alimwuliza kwa mshangao Shani
alipomsabahi. Alikuwa akiandaa kiamshakinywa.
?Ah! Nimeota ndoto za majinamizi tu usiku kucha!? Shani alijibu.
?Lo! Mimi nilikuwa nimezama katika ndoto za pepo!? Zani alijigamba.
?Usijali Shani. Burudani za Shimoni na Wasini zitaufukuza uchovu wako!?
Mama yao alimtuliza.

ya kumwita Shani
Giza likayeyuka. Likapishana na mcharuko wa kokoiko ya majogoo uliokaribisha mapambazuko

Additional information

Weight 0.1 kg

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

X