Sokwe wa Milima ya Mwezi

Original price was: KShs270.00.Current price is: KShs243.00. exc. VAT

SOKWE WA MILIMA YA MWEZI MWANDISHI : ALI ATTAS ISBN : 9789966630025

Description

Mfalme alihisi ngโ€™ambo za masikio yake zikidunda, zikiparibika kupasuka kutokana na mchagizo wa milio mikali ya mizimu nje ya madhabahu. Ndani aliona viuvi vya mizuka miwili ikirukaruka na kumzunguka yule mwana, mmoja ameshika kigongo. Halafu akaanza kuona miujiza.
Toka kiononi hadi kichwani, umbo la mwana huyo likaumbuka na sura yake ikangโ€™ongโ€™onea. Manyoya yakaota nusu ya mwili wake. Viuvi vya mizuka vikazidi kuchafuka kama viempandwa na mizimu. Yule mwana mara akageuka sokwe mtu.


Ndani ya kitabu hiki, msomaji ametunukiwa hadithi nyingine ya kusisimua iliyo na anwani, โ€œMbuyu wa Serengetiโ€.


Vitabu vingine katika mfululizo huu:

  • Nguva wa Shimoni

  • Pepo za Mizimu

  • Miujiza ya Majini

Additional information

Weight 0.1 kg
ISBN

9789966630025

Author

Ali Attas

Select at least 2 products
to compare

โš ๏ธ Important Notice: Annual Stocktake Closure

Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.

Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!