Your cart is currently empty!
Your cart is currently empty!
Miujiza Ya Majini Mwandishi : Ali Attas ISBN : 9789966630032
โUkungu wa ndoto ulifungua pazia.
Adamu akajiona pale ufukoni akiwa bado na kijana wake. Ziwani aliona viuvi viwili vikibuka, vikatamba na kuwangโongโolea. Baada ya nukta mbili tatu, aliona madege mawili yakirandaranda angani. Majini kuluzuka kivuli cha ngangarika. Kivuli hicho kilikuwa si kigeni. Mara akasikia mayowe yakimka,
โMianzi ya pua!โ
Adamu alizinduka kutoka usingizini akikariri, โMamba mla watu!โ huku jasho jembamba likimchuruzika usoni.โ Adamu alikurupuka kitandani, akangazia huku na kule kama kwamba bado alikuwa ndotoni. Dirishani, mwangaza wa alfajiri ulipepua. Mara alihisi mguso ukimshika na kumtikisa.
Vitabu vingine katika mfululizo huu:
Ngwa wa Shimoni
Pepo za Mizimu
Sokwe wa Milima ya Mwezi
| Weight | 0.1 kg |
|---|---|
| ISBN | 9789966630032 |
| Author | Ali Attas |
โ ๏ธ Important Notice: Annual Stocktake Closure
Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.
Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!
Notifications