Safari ya Siku na Mashairi Mengine

Original price was: KShs250.00.Current price is: KShs225.00. exc. VAT

Safari ya Siku na Mashairi Mengine Author : Yusuf Wambugu ISBN : 978 9966 635709

Description

Safari ya Siku na Mashairi Mengine ni diwani ambayo imeandikwa kwa lengo la kutanguliza utanzu wa ushairi kwa mwanafunzi wa Gredi ya Tisa.Diwani hii:

  • ina utangulizi unaofananua dhana muhimu za ushairi,inashughulikia dhana za kishairi zilizomo katika Mtaala wa Kiumilisi.
  • inajumuisha mashairi ya arudhi na mashairi huru,
  • ina mashairi ambayo yameandikwa kwa lugha ya kiwango cha Gredi ya Tisa.
  • inashughulikia masuala mtambuko mbalimbali na kukuza maadili muhimu.

 

Additional information

ISBN

978 9966 633 15 6

Select at least 2 products
to compare

โš ๏ธ Important Notice: Annual Stocktake Closure

Please note that we will be closed for our annual stocktake from today, 26th November 2025, to Friday, 28th November 2025.

Any orders placed during this time will be processed starting Monday, 1st December 2025. Thank you for your patience!